in ,

Lyrics: Bwana Yesu By Eunice Njeri

Do you know the lyrics of Bwana Yesu by Eunice Njeri? well then lets sing along.

http://www.youtube.com/watch?feature=player_embedded&v=bSgYFLU0UtY

 

 

Verse 1:

Bwana Yesu, Bwana Yesu
Kimbilio langu, ni wewe Baba
Tumaini langu, liko kwako Yaweh
Mimi sina uwezo, sina Bwana mwingine ila wewe
Mimi sina uwezo, sina Bwana mwingine ila wewe

Chorus:

Wewe ndiwe Baba yangu, msaada wangu wa karibu
Wewe ndiwe Baba yangu, msaada wangu wa karibu

Verse 2:

Haleluya, Haleluya Baba
Oh ulinifia mwokozi wangu, dhambi zangu zote ukaziosha
Sijapata mwingine, dunia yote kama wewe yahweh
Sijapata mwingine, sijapata mwingine kama wewe

(chorus)

Verse 3:

Nakuinua, nakuinua
Milele milele,nitakuimbia
Kwa yale umenitendea Baba nakusifu
Milele Milele, milele daima Bwana wangu
Milele na milele, milele daima Bwana wangu we

(Chorus)

Verse 4:

Hakuna hakuna nasema (Hakuna kama wewe)
Mbinguni na duniani tuimbe (Hakuna kama wewe)
Aliye filia dhambi zangu nasema (Hakuna kama wewe)
Mponyaji wangu ndiye Jehova rafa (Hakuna kama wewe)
Hakuna hakuna naimba (Hakuna kama wewe)
Hakuna hakuna nasema (Hakuna kama wewe)
Ulimwengu wote tuimbe (Hakuna kama wewe)
Dunia yote tuseme tusemee (Hakuna kama wewe)
Nasema hakuna hakuna hakuna (Hakuna kama wewe)
Oh hakuna hakuna nasema (Hakuna kama wewe)
Oh hakuna hakuna naimba (Hakuna kama wewe)
Hakuna hakuna tuimbe (Hakuna kama wewe)
hakuna hakuna nasema (Hakuna kama wewe)
Hakuna hakuna naimba (Hakuna kama wewe)

One Comment

Written by Link Press

Uliza Links Team
Email :info@ulizalinks.co.ke
Phone : 0727041162
CPT HSE, Forest Road, Parklands

VKP Rapper “Trigga” Set To Launch His Mixtape

Top 10 Pick Up Lines Used By A Kenyan Christian Guy On A Christian Lady