in ,

Here are the Lyrics of Nichukue By Mercy Masika

Below is the lyrics of Nichukue by Mercy Masika

Baba nichukue, nifunze, nataka kusoma,
kwa shule yako, kwa shule yako
nichukue, nifunze, nataka kusoma,
kwa shule yako, kwa shule yako
.
.
verse 1
Nikiwa nawe kama mwalimu,
ninajua nitahitimu,
nitashinda adui, akileta majaribu
unitayarishe, unibadilishe,
mtihani nipite, mwito nitimize,
nijue kuandika, niandike maono yangu,
nijue kuhesabu, nihesabu baraka zako ,
nijue kuongea , nihubiri neno lako oh ,
kwa watu wako
.
.
[refrain]
Baba nichukue, nifunze, nataka kusoma,
kwa shule yako, kwa shule yako
nichukue, nifunze, nataka kusoma,
kwa shule yako, kwa shule yako
.

verse 2
Shule yako hatudanganyi, ni ukweli na uwazi,
wanafaunzi hawagomi, mwalimu atujali,
unifunze mipango, wote niwaheshimu,
Yesu ni mwalimu, Yesu ni mwalimu
nijue kuandika, niandike maono yangu,
nijue kuhesabu, nihesabu baraka zako ,
nijue kuongea , nihubiri neno lako oh ,
kwa watu wako

.
[refrain]

Baba nichukue, nifunze, nataka kusoma,
kwa shule yako, kwa shule yako
nichukue, nifunze, nataka kusoma,
kwa shule yako, kwa shule yako
Baba nichukue, nifunze, nataka kusoma,
kwa shule yako, kwa shule yako
nichukue, nifunze, nataka kusoma,
kwa shule yako, kwa shule yako
+

Written by Link Press

Uliza Links Team
Email :info@ulizalinks.co.ke
Phone : 0727041162
CPT HSE, Forest Road, Parklands

NEW TWIST : Kenyan Artistes Protest in CBD Against ‘New’ MPAKE That Replaced MCSK

Lyrics of ‘I DO’ by Willy Paul and Alaine