Here are the Lyrics Of Pamoja By Zidi The Band
Skiza bwana mkubwa wapiga domo bure. (buree)
Tembeza gari lako hadi kule ukaone. (ukaone)
Mipaka yateketea, jirani wahofia,
Ya kwamba tutaangamizana ukiangalia.
Tunaomba utusikize eh eh
Sisi Wakenya kutoka kotee X2
Nipe amani, nipe amani, nipe amani ili tuishi pamoja X2
Mbona wachochea mbona wakubalia,
Kutumika vibaya kuleta balaa,
Chuki na ukabila zaturudisha nyuma,
Haifai, Haifai iyee eeh eeh.
Tunaomba utusikizee, sisi wakenya kutoka kotee x2
Nipe amani, nipe amani, nipe amani ili tuishi pamoja x2
pamoja, pamoja, pamoja tuishi pamoja (repeat)