in ,

What Willy Paul Sings In His New Song ‘Fanya’

Mabinti walinichanganya Nairobi mpaka mombasa
Kayole mpaka Dandora, Mathare mpaka Huruma
Ghetto mpaka Tribeka, ni kweli mimi awillie
Nilikuanga mziririe, walinitisha mabintire
hivi leo nimerudi-ee kwa mwenyezi-ree anisamehe

willy-paul-e1447236939376

Jalali nakumiss sanaa,
kukupenda ndio nataka kufanya
fafa fanya fafa fanya
fafa fanya fafa yanya
fafa fanya fafa fanya
fafa fanya fafa fanya

Walitap mic one, two, si mnafahamu yule Daudi-ee
alitenda madhambi eeh, lakini mungu ee alimpenda eeh
unamjua huyu Daudi-ee alikwendaa-re akapotea
leo leo narudi kwa Baba X2
nikikweli eeh mimi awillie, nilikuanga

Ni kweli mimi awillie
Nilikuanga mziririe,
walinitisha mabintire
hivi leo nimerudi-ee
kwa mwenyezi-ree anisamehe

Jalali nakumiss sanaa,
kukupenda ndio nataka kufanya
fafa fanya fafa fanya
fafa fanya fafa yanya
fafa fanya fafa fanya
fafa fanya fafa fanya

mhh kamata chini, na na na na
juu kwa juu na na na na na
siku za mwisho zimewadia
wangapi watarudi na mitendee kwake Babaa

oooh Halleluyah X5

Written by Jody Haber

Kenyan men should style up, No!!!

Singer Akothee rushed to hospital